Tunatafuta u star ili tupate pesa ISMAYA KIDUKU
T unautafuta u star sio kwasababu ya mademu tunautafuta u star kwa sababu ya kutengeneza pesa na kama unaona kuna vijana wanataka kuwa ma star ili wapate watoto wazuri basi mi naona hawana akili timamu na awawezi kufika mbali watapotea mimi binafsi nataka kufanya umaarufu wangu kuwa mtaji wa kuniingizia pesa hivyo yani. alijibu ismaya kiduku baada ya kuulizwa swali la kizushi kuhusu kutafuta u star kwake ISMAYA KIDUKU