PICHA : Mazishi ya Mke wa Waziri Mwakyembe leo Mbeya
Mamia ya Wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, vyama na dini wameungana na familia katika mazishi ya aliyekuwa mke wa Waziri wa Habari Dr. Harrison Mwakyembe, Linah George Mwakyembe yaliyofanyika leo July 19, 2017 Mbeya.
Maoni
Chapisha Maoni